Kutoka 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya unitendee dhambi. Ikiwa utaitumikia miungu yao, itakuwa mtego kwako.”+ Kumbukumbu la Torati 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Jiangalie usije ukanaswa na kuwafuata,+ baada ya wao kuangamizwa kutoka mbele yako, nawe usije ukauliza kuhusu miungu yao, na kusema, ‘Mataifa haya yalikuwa yakiitumikiaje miungu yao? Nami, naam, mimi nitafanya vivyo hivyo.’ Waamuzi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+ Zaburi 106:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Nao waliendelea kutumikia sanamu zao,+Nazo zikawa mtego kwao.+
33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya unitendee dhambi. Ikiwa utaitumikia miungu yao, itakuwa mtego kwako.”+
30 Jiangalie usije ukanaswa na kuwafuata,+ baada ya wao kuangamizwa kutoka mbele yako, nawe usije ukauliza kuhusu miungu yao, na kusema, ‘Mataifa haya yalikuwa yakiitumikiaje miungu yao? Nami, naam, mimi nitafanya vivyo hivyo.’
3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+