Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo utakapolazimika kuwachukua baadhi ya binti zao kwa ajili ya wana wako,+ na binti zao hakika watafanya uasherati na miungu yao na kuwafanya wana wako wafanye uasherati na miungu yao.+

  • Yoshua 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Lakini mkirudi nyuma kwa vyovyote+ na kushikamana na mabaki ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi, na kufanya nao mapatano ya ndoa+ na kuingia katikati yao, nao wakiingia katikati yenu,

  • Ezra 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na sasa ninyi msiwape wana wao binti zenu,+ wala binti zao msiwakubali kwa ajili ya wana wenu; nanyi msiwatakie amani wala mafanikio+ mpaka wakati usio na kipimo, ili mpate nguvu+ na mle mema ya nchi na kuimiliki kwa ajili ya wana wenu mpaka wakati usio na kipimo.’+

  • Ezra 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Shekania mwana wa Yehieli+ wa wana wa Elamu+ akamwambia Ezra: “Sisi—sisi tumemtendea Mungu wetu kwa njia isiyo ya uaminifu, kwa kuwapa makao wake wa kigeni kutoka kwa vikundi vya watu wa nchi hii.+ Na bado sasa kuna tumaini+ kwa Israeli kuhusu jambo hili.

  • 2 Wakorintho 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki