Ezra 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, msiwaruhusu mabinti zenu waolewe na wana wao, wala msikubali wana wenu wawaoe mabinti zao;+ msiwatakie kamwe amani wala mafanikio,+ ili mzidi kupata nguvu na kula mema ya nchi na kuimiliki ili wana wenu wairithi milele.’
12 Kwa hiyo, msiwaruhusu mabinti zenu waolewe na wana wao, wala msikubali wana wenu wawaoe mabinti zao;+ msiwatakie kamwe amani wala mafanikio,+ ili mzidi kupata nguvu na kula mema ya nchi na kuimiliki ili wana wenu wairithi milele.’