-
Kutoka 34:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Muwe waangalifu msifanye agano na wakaaji wa nchi, kwa maana wanapofanya ukahaba na miungu yao na kuitolea dhabihu,+ mmoja wao atawaalika nanyi mtakula dhabihu yake.+ 16 Kisha kwa hakika mtawachukua baadhi ya mabinti wao ili waolewe na wana wenu,+ na mabinti wao watafanya ukahaba na miungu yao na kusababisha wana wenu wafanye ukahaba na miungu yao.+
-
-
Yoshua 23:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “Lakini mkimwacha na kushikamana na watu wa mataifa haya yaliyobaki+ na kuoana nao+ na kushirikiana nao, 13 mjue kwa hakika kwamba Yehova Mungu wenu hataendelea kuyafukuza* mataifa haya kwa ajili yenu.+ Yatakuwa mtego wa kuwanasa, nayo yatakuwa mjeledi wa kuwachapa mbavuni+ na miiba machoni mwenu mpaka mtakapoangamia kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa.
-