14 Msifuate miungu mingine, miungu yoyote ya mataifa yote yanayowazunguka,+ 15 kwa maana Yehova Mungu wenu ambaye yuko miongoni mwenu ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake.+ Msipofanya hivyo, hasira ya Yehova Mungu wenu itawaka dhidi yenu,+ naye atawaangamiza kabisa kutoka duniani.+