Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimeona kwamba watu hawa ni wakaidi.*+ 10 Basi sasa, niache niwaangamize kabisa kwa hasira yangu inayowaka, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+

  • Hesabu 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Waisraeli wakashiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori,+ na hasira ya Yehova ikawaka dhidi yao.

  • Kumbukumbu la Torati 11:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jihadharini msiruhusu mioyo yenu ishawishiwe kukengeuka na kuabudu miungu mingine na kuiinamia.+ 17 Kama sivyo, hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu hivi kwamba mvua haitanyesha+ na ardhi haitazaa mazao yake nanyi mtaangamia upesi kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+

  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki