Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+

  • Yoshua 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, dhambi tuliyotenda kule Peori haikutosha? Mpaka leo hatujajitakasa kutokana nayo hata ingawa kusanyiko la Yehova lilipata pigo.+

  • Zaburi 106:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha wakajiunga* na ibada ya Baali wa Peori,+

      Nao wakala dhabihu zilizotolewa kwa waliokufa.*

      29 Walimkasirisha kwa matendo yao,+

      Na pigo likazuka miongoni mwao.+

  • Hosea 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+

      Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu.

      Lakini walienda kwa Baali wa Peori;+

      Walijiweka wakfu kwa kile kitu cha aibu,*+

      Wakawa chukizo kama kitu walichokipenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki