Kumbukumbu la Torati 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+ Yoshua 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Je, dhambi tuliyotenda kule Peori haikutosha? Mpaka leo hatujajitakasa kutokana nayo hata ingawa kusanyiko la Yehova lilipata pigo.+ Zaburi 106:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha wakajiunga* na ibada ya Baali wa Peori,+Nao wakala dhabihu zilizotolewa kwa waliokufa.* 29 Walimkasirisha kwa matendo yao,+Na pigo likazuka miongoni mwao.+ Hosea 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+ Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu. Lakini walienda kwa Baali wa Peori;+Walijiweka wakfu kwa kile kitu cha aibu,*+Wakawa chukizo kama kitu walichokipenda.
3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+
17 Je, dhambi tuliyotenda kule Peori haikutosha? Mpaka leo hatujajitakasa kutokana nayo hata ingawa kusanyiko la Yehova lilipata pigo.+
28 Kisha wakajiunga* na ibada ya Baali wa Peori,+Nao wakala dhabihu zilizotolewa kwa waliokufa.* 29 Walimkasirisha kwa matendo yao,+Na pigo likazuka miongoni mwao.+
10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+ Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu. Lakini walienda kwa Baali wa Peori;+Walijiweka wakfu kwa kile kitu cha aibu,*+Wakawa chukizo kama kitu walichokipenda.