Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo utakapolazimika kuwachukua baadhi ya binti zao kwa ajili ya wana wako,+ na binti zao hakika watafanya uasherati na miungu yao na kuwafanya wana wako wafanye uasherati na miungu yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe usifanye mapatano yoyote ya ndoa pamoja nao. Binti yako usimpe mwana wake, wala binti yake usimchukue kwa ajili ya mwana wako.+

  • Waamuzi 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao wakaanza kuoa binti zao,+ na binti zao wenyewe wakawapa wana wao,+ nao wakaanza kuitumikia miungu yao.+

  • 1 Wafalme 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na ikawa kwamba wakati Sulemani alipokuwa mzee,+ wake zake wakawa wameugeuza+ moyo wake ukaifuata miungu mingine;+ na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.

  • Ezra 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana wamekubali baadhi ya binti zao kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya wana wao;+ nao, ule uzao mtakatifu,+ wamechanganyika+ na vikundi vya watu wa nchi, na mkono wa wakuu na watawala-wasaidizi umekuwa wa kwanza+ kabisa katika ukosefu huu wa uaminifu.”

  • Nehemia 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Pia, katika siku hizo niliwaona Wayahudi ambao walikuwa wamewapa makao+ wake Waashdodi,+ Waamoni na Wamoabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki