Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Lakini mkirudi nyuma kwa vyovyote+ na kushikamana na mabaki ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi, na kufanya nao mapatano ya ndoa+ na kuingia katikati yao, nao wakiingia katikati yenu,

  • 1 Wafalme 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kutoka kwa mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia wana wa Israeli: “Msiingie kati yao,+ nao wasije kati yenu; kwa hakika watageuza moyo wenu uifuate miungu yao.”+ Hao ndio Sulemani alishikamana+ nao na kuwapenda.

  • Ezra 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana wamekubali baadhi ya binti zao kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya wana wao;+ nao, ule uzao mtakatifu,+ wamechanganyika+ na vikundi vya watu wa nchi, na mkono wa wakuu na watawala-wasaidizi umekuwa wa kwanza+ kabisa katika ukosefu huu wa uaminifu.”

  • Nehemia 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 na kwamba tusiwape watu wa nchi binti zetu, wala tusiwachukulie wana wetu binti zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki