Kutoka 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.” Kutoka 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+ Kumbukumbu la Torati 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+
6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.”
31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+
6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+