Mambo ya Walawi 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Pia hatakula mwili wowote uliokufa tayari au kitu chochote kilichoraruliwa na wanyama-mwitu na kuwa asiye safi kutokana nacho.+ Mimi ni Yehova. Ezekieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+ Matendo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+
8 Pia hatakula mwili wowote uliokufa tayari au kitu chochote kilichoraruliwa na wanyama-mwitu na kuwa asiye safi kutokana nacho.+ Mimi ni Yehova.
14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+
14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+