Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+

  • Mambo ya Walawi 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Sasa mafuta ya mzoga ambao tayari umekufa na mafuta ya mnyama aliyeraruliwa+ vipande-vipande yanaweza kutumiwa kwa ajili ya kitu kingine chochote kinachoweza kufikiriwa, lakini ninyi msiyale hata kidogo.

  • Mambo ya Walawi 11:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Naye anayekula+ sehemu yoyote ya mzoga wake atayafua mavazi yake, naye atakuwa asiye safi mpaka jioni; naye anayeubeba mzoga wake atayafua mavazi yake, naye atakuwa asiye safi mpaka jioni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki