Kutoka 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+ Mambo ya Walawi 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.
31 “Nanyi lazima muwe watu watakatifu kwangu;+ nanyi msile nyama shambani ambayo imeraruliwa na mnyama-mwitu.+ Mtawatupia mbwa nyama hiyo.+
15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.