Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.

  • Mambo ya Walawi 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Pia hatakula mwili wowote uliokufa tayari au kitu chochote kilichoraruliwa na wanyama-mwitu na kuwa asiye safi kutokana nacho.+ Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Msile mwili wowote uliokufa tayari.+ Mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako unaweza kumpa mwili huo, naye ataula; au mwili huo unaweza kuuziwa mgeni, kwa sababu wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa Yehova Mungu wako.

      “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Ezekieli 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+

  • Ezekieli 44:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Makuhani wasile mnyama yeyote aliyekufa tayari wala kiumbe chochote kilichoraruliwa vipande-vipande kati ya viumbe vinavyoruka au kati ya wanyama.’+

  • Matendo 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sauti ikamjia: “Simama, Petro, chinja ule!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki