Ezekieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo nikasema: “Isiwe hivyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tangu ujana wangu mpaka sasa sijatiwa* unajisi kwa kula nyama ya mnyama ambaye amepatikana amekufa wala mnyama aliyeraruliwa,+ na nyama isiyo safi* haijawahi kuingia kinywani mwangu.”+
14 Ndipo nikasema: “Isiwe hivyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tangu ujana wangu mpaka sasa sijatiwa* unajisi kwa kula nyama ya mnyama ambaye amepatikana amekufa wala mnyama aliyeraruliwa,+ na nyama isiyo safi* haijawahi kuingia kinywani mwangu.”+