Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Mnapaswa kujithibitisha wenyewe kuwa watu watakatifu mbele zangu,+ nanyi hampaswi kula nyama ya mnyama yeyote ambaye ameraruliwa na mnyama wa mwituni.+ Mnapaswa kuwatupia mbwa nyama hiyo.

  • Mambo ya Walawi 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mafuta ya mnyama aliyepatikana amekufa na mafuta ya mnyama aliyeuawa na mnyama mwingine, yanaweza kutumiwa kwa kusudi lingine lolote, lakini hampaswi kamwe kuyala.+

  • Mambo ya Walawi 11:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Yeyote anayekula sehemu yoyote ya mzoga huo anapaswa kufua mavazi yake, hatakuwa safi mpaka jioni.+ Na yeyote anayebeba mzoga huo anapaswa kufua mavazi yake, naye hatakuwa safi mpaka jioni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki