31 “Mnapaswa kujithibitisha wenyewe kuwa watu watakatifu mbele zangu,+ nanyi hampaswi kula nyama ya mnyama yeyote ambaye ameraruliwa na mnyama wa mwituni.+ Mnapaswa kuwatupia mbwa nyama hiyo.
24 Mafuta ya mnyama aliyepatikana amekufa na mafuta ya mnyama aliyeuawa na mnyama mwingine, yanaweza kutumiwa kwa kusudi lingine lolote, lakini hampaswi kamwe kuyala.+
40 Yeyote anayekula sehemu yoyote ya mzoga huo anapaswa kufua mavazi yake, hatakuwa safi mpaka jioni.+ Na yeyote anayebeba mzoga huo anapaswa kufua mavazi yake, naye hatakuwa safi mpaka jioni.