Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mtu yeyote, awe ni mwenyeji au mgeni, akila mnyama aliyepatikana amekufa au aliyeraruliwa na mnyama wa mwituni,+ basi ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji,+ naye hatakuwa safi mpaka jioni.

  • Mambo ya Walawi 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote, mzao wenu yeyote asiye safi atakayekaribia vitu vitakatifu ambavyo Waisraeli wanavitakasa kwa ajili yangu, mimi, Yehova, ataangamizwa kutoka mbele zangu.+ Mimi ni Yehova.

  • Mambo ya Walawi 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Pia, hapaswi kujichafua kwa kula mnyama yeyote aliyepatikana amekufa au kiumbe yeyote aliyeraruliwa na mnyama wa mwituni.+ Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Msimle mnyama yeyote aliyepatikana amekufa.+ Mnaweza kumpa mkaaji mgeni aliye ndani ya majiji yenu,* naye anaweza kumla, au mnyama huyo anaweza kuuzwa kwa mgeni. Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.

      “Msimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Ezekieli 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo nikasema: “Isiwe hivyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tangu ujana wangu mpaka sasa sijatiwa* unajisi kwa kula nyama ya mnyama ambaye amepatikana amekufa wala mnyama aliyeraruliwa,+ na nyama isiyo safi* haijawahi kuingia kinywani mwangu.”+

  • Ezekieli 44:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Makuhani hawapaswi kula ndege yeyote au mnyama yeyote aliyepatikana amekufa au kuraruliwa vipandevipande.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki