21 “Msile mwili wowote uliokufa tayari.+ Mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako unaweza kumpa mwili huo, naye ataula; au mwili huo unaweza kuuziwa mgeni, kwa sababu wewe ni kikundi cha watu watakatifu kwa Yehova Mungu wako.
“Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+