Mambo ya Walawi 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:15 Ufahamu, uku. 344
15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.