Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+ Hesabu 15:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Upindo huo utawasaidia kukumbuka, nanyi mtashika amri zangu zote na kuwa watakatifu kwangu mimi Mungu wenu.+ 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+
2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+
40 Upindo huo utawasaidia kukumbuka, nanyi mtashika amri zangu zote na kuwa watakatifu kwangu mimi Mungu wenu.+