9 Yehova atawafanya kuwa taifa lake takatifu,+ kama alivyowaapia,+ kwa sababu mnaendelea kushika amri za Yehova Mungu wenu na kutembea katika njia zake.
12Kwa hiyo akina ndugu, ninawasihi kwa huruma za Mungu, mtoe miili yenu+ iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mtakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+