19 Ninazungumza kwa maneno ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa miili yenu; kwa maana kama mlivyovitoa viungo vyenu kuwa watumwa wa mambo machafu na uasi sheria unaotokeza uasi sheria, basi sasa vitoeni viungo vyenu viwe watumwa wa uadilifu unaotokeza utakatifu.+
3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mnapaswa kuwa watakatifu+ na mjiepushe na uasherati.*+4 Kila mmoja wenu anapaswa kujua jinsi ya kuudhibiti mwili wake* mwenyewe+ katika utakatifu+ na heshima,