Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ninazungumza kwa maneno ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wa miili yenu; kwa maana kama mlivyovitoa viungo vyenu kuwa watumwa wa mambo machafu na uasi sheria unaotokeza uasi sheria, basi sasa vitoeni viungo vyenu viwe watumwa wa uadilifu unaotokeza utakatifu.+

  • 1 Wathesalonike 4:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mnapaswa kuwa watakatifu+ na mjiepushe na uasherati.*+ 4 Kila mmoja wenu anapaswa kujua jinsi ya kuudhibiti mwili wake* mwenyewe+ katika utakatifu+ na heshima,

  • Waebrania 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa “mapenzi” hayo+ sisi tumetakaswa kupitia toleo la mwili wa Yesu Kristo mara moja kwa wakati wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki