Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami ninajitakasa kwa ajili yao, ili wao pia watakaswe kupitia ile kweli.

  • Waefeso 5:25-27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+ 26 ili alitakase, akilisafisha na kuliosha kwa maji kupitia neno,+ 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari, bila doa au kunyanzi au lolote kati ya mambo hayo,+ bali likiwa takatifu na bila dosari.+

  • 2 Wathesalonike 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hata hivyo, tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu akina ndugu mnaopendwa na Yehova,* kwa sababu tangu mwanzo Mungu aliwachagua+ ili mwokolewe kwa kuwatakasa+ kupitia roho yake na imani yenu katika kweli.

  • 1 Petro 1:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+ 16 kwa maana imeandikwa: “Lazima muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki