Mambo ya Walawi 11:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu,+ nanyi lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msijichafue kwa kula kiumbe yeyote anayetambaa. Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+ Mambo ya Walawi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Ni lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni lazima muwe watakatifu mbele zangu, kwa sababu mimi, Yehova, ni mtakatifu,+ nami ninawatenga na mataifa mengine ili muwe watu wangu.+
44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu,+ nanyi lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msijichafue kwa kula kiumbe yeyote anayetambaa.
2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+
26 Ni lazima muwe watakatifu mbele zangu, kwa sababu mimi, Yehova, ni mtakatifu,+ nami ninawatenga na mataifa mengine ili muwe watu wangu.+