Kutoka 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia Waisraeli.” Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+ Kumbukumbu la Torati 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote duniani.+ 1 Wathesalonike 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu hakutuita tuishi maisha ya uchafu, bali tuwe watakatifu.+
6 Mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia Waisraeli.”
2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+
2 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu+ kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote duniani.+