44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu,+ nanyi lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msijichafue kwa kula kiumbe yeyote anayetambaa.
12Kwa hiyo akina ndugu, ninawasihi kwa huruma za Mungu, mtoe miili yenu+ iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mtakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+