Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu,+ nanyi lazima mjitakase na kuwa watakatifu,+ kwa sababu mimi ni mtakatifu.+ Kwa hiyo msijichafue kwa kula kiumbe yeyote anayetambaa.

  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo akina ndugu, ninawasihi kwa huruma za Mungu, mtoe miili yenu+ iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mtakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • 1 Petro 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki