18 Hata hivyo, ikiwa nyama yoyote ya dhabihu yake ya ushirika italiwa katika siku ya tatu, yule anayeitoa hatapata kibali.+ Haitahesabiwa kwake.+ Itakuwa kitu kichafu, nayo nafsi ambayo itakula sehemu yake itajibu kwa kosa lake.+
4 wakiwa wameketi katikati ya makaburi,+ ambao pia wanalala usiku kucha katika vijumba vya kukeshea, wakiwa wanakula nyama ya nguruwe,+ mchuzi wa vitu vichafu+ ukiwa katika vyombo vyao;
17 Wale wanaojitakasa na kujisafisha kwa ajili ya bustani+ zilizo nyuma ya mtu katikati, wakila nyama ya nguruwe+ na kitu chenye kuchukiza, panya anayeruka,+ wote wataufikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.