Mambo ya Walawi 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia nguruwe,+ kwa sababu ana ukwato uliopasuka naye ana mwanya kwenye ukwato, lakini yeye mwenyewe hacheui. Huyo si safi kwenu. Kumbukumbu la Torati 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nguruwe+ pia, kwa sababu ana ukwato uliopasuka lakini hacheui. Huyo si safi kwenu. Msile yoyote ya nyama yao, na mizoga yao msiiguse.+ Isaya 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wakiwa wameketi katikati ya makaburi,+ ambao pia wanalala usiku kucha katika vijumba vya kukeshea, wakiwa wanakula nyama ya nguruwe,+ mchuzi wa vitu vichafu+ ukiwa katika vyombo vyao;
7 Pia nguruwe,+ kwa sababu ana ukwato uliopasuka naye ana mwanya kwenye ukwato, lakini yeye mwenyewe hacheui. Huyo si safi kwenu.
8 Nguruwe+ pia, kwa sababu ana ukwato uliopasuka lakini hacheui. Huyo si safi kwenu. Msile yoyote ya nyama yao, na mizoga yao msiiguse.+
4 wakiwa wameketi katikati ya makaburi,+ ambao pia wanalala usiku kucha katika vijumba vya kukeshea, wakiwa wanakula nyama ya nguruwe,+ mchuzi wa vitu vichafu+ ukiwa katika vyombo vyao;