Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia nguruwe,+ kwa sababu ana ukwato uliopasuka naye ana mwanya kwenye ukwato, lakini yeye mwenyewe hacheui. Huyo si safi kwenu.

  • Kumbukumbu la Torati 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nguruwe+ pia, kwa sababu ana ukwato uliopasuka lakini hacheui. Huyo si safi kwenu. Msile yoyote ya nyama yao, na mizoga yao msiiguse.+

  • Isaya 66:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wale wanaojitakasa na kujisafisha kwa ajili ya bustani+ zilizo nyuma ya mtu katikati, wakila nyama ya nguruwe+ na kitu chenye kuchukiza, panya anayeruka,+ wote wataufikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki