Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na ikiwa nafsi inatenda dhambi kwa kuwa anafanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe, ingawa hakujua,+ hata hivyo amekuwa na hatia na lazima atajibu kwa sababu ya kosa lake.+

  • Mambo ya Walawi 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye atakayekila atajibu kwa kosa lake,+ kwa sababu amekitia unajisi kitu kitakatifu cha Yehova; nayo nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.

  • Hesabu 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini wakati ambapo mtu alikuwa safi au hakuwa ameenda safari naye alipuuza kuitayarisha dhabihu ya pasaka, basi lazima nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake,+ kwa sababu haikutoa toleo la Yehova katika wakati wake uliowekwa. Mtu huyo atajibu kwa sababu ya dhambi yake.+

  • Ezekieli 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki