Mambo ya Walawi 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mtu akitenda dhambi kwa kufanya jambo lolote ambalo Yehova ameamuru lisifanywe, hata kama hajui, bado ana hatia naye atawajibika kwa sababu ya kosa lake.+
17 “Mtu akitenda dhambi kwa kufanya jambo lolote ambalo Yehova ameamuru lisifanywe, hata kama hajui, bado ana hatia naye atawajibika kwa sababu ya kosa lake.+