Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Ila hiki ndicho ambacho hamtakula kati ya wacheuaji na wenye ukwato uliopasuka: ngamia, kwa sababu ni mcheuaji lakini hana ukwato uliopasuka. Huyo si safi kwenu.+

  • Mambo ya Walawi 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Navyo hivi ndivyo mtakavyovichukia kati ya viumbe vinavyoruka.+ Visiliwe. Hivyo ni chukizo: tai+ na furukombe na tai-mzoga mweusi,

  • Mambo ya Walawi 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nanyi mtatofautisha mnyama aliye safi na asiye safi na kutofautisha ndege aliye safi na asiye safi;+ nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa zenye kuchukiza+ kupitia mnyama na ndege na kitu chochote ambacho hutembea juu ya nchi ambacho nimekitenga kwa ajili yenu kwa kuvitangaza kuwa si safi.

  • Kumbukumbu la Torati 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Usile kitu chenye kuchukiza cha namna yoyote.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kila kiumbe kinachozaana kwa wingi chenye mabawa si safi kwenu.+ Havipaswi kuliwa.

  • Ezekieli 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki