Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+

  • 1 Wafalme 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kutoka kwa mataifa ambayo Yehova alikuwa amewaambia wana wa Israeli: “Msiingie kati yao,+ nao wasije kati yenu; kwa hakika watageuza moyo wenu uifuate miungu yao.”+ Hao ndio Sulemani alishikamana+ nao na kuwapenda.

  • Nehemia 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Je, haikuwa kwa sababu yao kwamba Sulemani mfalme wa Israeli alitenda dhambi?+ Na hapakuwa na mfalme kama yeye katika hayo mataifa mengi;+ naye alipendwa na Mungu wake,+ hivi kwamba Mungu akamfanya kuwa mfalme juu ya Israeli wote. Lakini wake wa kigeni walimfanya hata yeye atende dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki