Mwanzo 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+ Zaburi 112:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Uzao wake utakuwa wenye nguvu duniani.+ ד [Daʹleth]Nacho kizazi cha wanyoofu, kitabarikiwa.+ Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Methali 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwadilifu anatembea kwa utimilifu wake.+ Wanawe watakuwa na furaha baada yake.+
19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+