Zaburi 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nafsi yake itakaa katika wema,+Na uzao wake mwenyewe utaimiliki dunia.+ Zaburi 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+ Zaburi 102:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Wana wa watumishi wako wataendelea kukaa;+Na mbele zako uzao wao utafanywa imara.”+ Matendo 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+
39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+