Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+

  • Zaburi 90:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Utendaji wako na uonekane kwa watumishi wako+

      Na fahari yako juu ya wana wao.+

  • Isaya 66:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya+ na dunia mpya+ ninazozifanya zinavyosimama mbele zangu,”+ asema Yehova, “ndivyo uzao wenu+ na jina lenu litakavyoendelea kusimama.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki