11 “‘“Na itakuwa kwamba siku zako zitakapokuwa zimetimia ili uende kuwa na mababu zako,+ mimi nitainua uzao wako baada yako ambao utakuwa mmoja wa wana wako,+ nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika kusema nanyi kwa uhuru wa kusema juu ya Daudi yule kichwa cha familia, kwamba alikufa+ na pia akazikwa na kaburi lake liko katikati yetu mpaka leo hii.