1 Wafalme 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Yehova akatimiza neno lake alilokuwa amesema,+ ili nisimame mahali pa Daudi baba yangu na kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ kama Yehova alivyosema, na ili nijenge nyumba kwa ajili ya jina la Yehova, Mungu wa Israeli,+ Zaburi 132:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+
20 Na Yehova akatimiza neno lake alilokuwa amesema,+ ili nisimame mahali pa Daudi baba yangu na kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli,+ kama Yehova alivyosema, na ili nijenge nyumba kwa ajili ya jina la Yehova, Mungu wa Israeli,+
11 Yehova amemwapia Daudi,+Kwa kweli hataliacha:+“Kati ya uzao wa tumbo lako+Nitaweka juu ya kiti chako cha ufalme.+