6 “Tena akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayejenga nyumba yangu+ na nyua zangu; kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba yake.+
10 Na Yehova akatimiza neno lake+ alilokuwa amesema, ili nisimame mahali pa Daudi baba yangu+ na kuketi juu ya kiti cha ufalme+ cha Israeli, kama Yehova alivyosema,+ na ili nijenge nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli,+