1 Mambo ya Nyakati 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kati ya wanangu wote (kwa maana wana ambao Yehova amenipa ni wengi)+ ndipo akamchagua Sulemani+ mwanangu aketi kwenye kiti cha ufalme+ wa Yehova juu ya Israeli. Waebrania 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+
5 na kati ya wanangu wote (kwa maana wana ambao Yehova amenipa ni wengi)+ ndipo akamchagua Sulemani+ mwanangu aketi kwenye kiti cha ufalme+ wa Yehova juu ya Israeli.
8 Lakini kumhusu Mwana: “Mungu ni kiti chako cha ufalme milele+ na milele, na fimbo ya enzi ya ufalme+ wako ni fimbo ya unyoofu.+