2 Samweli 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Mungu na amfanyie Abneri hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa, kama vile Yehova alivyomwapia Daudi,+ sivyo nitakavyomtendea, Zaburi 89:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nimefanya agano kumwelekea mchaguliwa wangu;+Nimemwapia Daudi mtumishi wangu,+ Waebrania 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 (kwa maana kwa kweli kuna watu ambao wamekuwa makuhani bila kiapo rasmi, lakini kuna mmoja mwenye kiapo rasmi kupitia Yule aliyesema hivi kumhusu: “Yehova ameapa+ (naye hatajuta), ‘Wewe ni kuhani milele,’ ”)+
9 Basi Mungu na amfanyie Abneri hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa, kama vile Yehova alivyomwapia Daudi,+ sivyo nitakavyomtendea,
21 (kwa maana kwa kweli kuna watu ambao wamekuwa makuhani bila kiapo rasmi, lakini kuna mmoja mwenye kiapo rasmi kupitia Yule aliyesema hivi kumhusu: “Yehova ameapa+ (naye hatajuta), ‘Wewe ni kuhani milele,’ ”)+