28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+
23 Na hizi ndizo zilizokuwa hesabu za vichwa vya walioandaliwa kwa ajili ya jeshi ambao walimjia Daudi kule Hebroni+ ili kumpa ufalme+ wa Sauli kulingana na agizo la Yehova.+