1 Samweli 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+ 1 Samweli 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na sasa tazama! Najua vema bila shaka kwamba wewe utatawala ukiwa mfalme,+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mkononi mwako.
13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta,+ akamtia mafuta katikati ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kutenda kazi juu ya Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akasimama, akaenda zake mpaka Rama.+
20 Na sasa tazama! Najua vema bila shaka kwamba wewe utatawala ukiwa mfalme,+ na kwamba ufalme wa Israeli utadumu mkononi mwako.