1Na palikuwa na mtu wa Ramathaim-sofimu+ wa eneo lenye milima la Efraimu,+ na jina lake lilikuwa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu,+ Mwefraimu.
19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+