19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+
3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+