Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo wakaamka asubuhi na mapema na kusujudu mbele za Yehova, baadaye wakarudi, wakaja nyumbani kwao huko Rama.+ Basi Elkana akalala+ na Hana mke wake, na Yehova akaanza kumkumbuka.+

  • 1 Samweli 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, naye akahukumu Israeli huko. Naye akamjengea Yehova madhabahu huko.+

  • 1 Samweli 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki