Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na palikuwa na mtu wa Ramathaim-sofimu+ wa eneo lenye milima la Efraimu,+ na jina lake lilikuwa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu,+ Mwefraimu.

  • 1 Samweli 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya muda wanaume wazee wote wa Israeli+ wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli katika Rama

  • 1 Samweli 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Daudi akakimbia, akaponyoka,+ akaenda kwa Samweli huko Rama.+ Naye akamwambia mambo yote ambayo Sauli alikuwa amemfanyia. Ndipo yeye na Samweli wakaenda zao, wakaanza kukaa katika Naiothi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki