1 Samweli 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Daudi akakimbia+ kutoka Naiothi katika Rama. Hata hivyo, akaja na kusema mbele ya Yonathani: “Nimefanya nini?+ Kosa langu ni nini, nami nimetenda dhambi gani mbele ya baba yako, kwa maana anaitafuta nafsi yangu?”
20 Na Daudi akakimbia+ kutoka Naiothi katika Rama. Hata hivyo, akaja na kusema mbele ya Yonathani: “Nimefanya nini?+ Kosa langu ni nini, nami nimetenda dhambi gani mbele ya baba yako, kwa maana anaitafuta nafsi yangu?”