10 Basi Sauli akatafuta kumpigilia Daudi ukutani+ kwa mkuki, lakini akakwepa+ kutoka mbele ya Sauli, hivi kwamba akaupigilia mkuki ule ndani ya ukuta. Naye Daudi akakimbia ili aponyoke usiku huo.+
26 Mwishowe Sauli akaja upande huu wa mlima, na Daudi na watu wake wakawa upande mwingine wa mlima huo. Basi Daudi akafanya haraka kuondoka+ kwa sababu ya Sauli; wakati huo wote Sauli na watu wake walikuwa wakimzunguka Daudi na watu wake ili kuwakamata.+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+