Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+

      Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+

      Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+

  • Zaburi 18:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+

      Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+

      Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+

  • Zaburi 59:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+

      Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+

      Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+

      Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+

  • Zaburi 124:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+

      Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+

      Mtego umevunjwa,+

      Na sisi tumeponyoka.+

  • Mathayo 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakati wanapowatesa ninyi katika jiji moja, kimbilieni jiji lingine;+ kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Hamtamaliza kuyazunguka+ majiji ya Israeli mpaka Mwana wa binadamu atakapofika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki