Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 18:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+ Zaburi 59:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+ Zaburi 124:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+ Mathayo 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakati wanapowatesa ninyi katika jiji moja, kimbilieni jiji lingine;+ kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Hamtamaliza kuyazunguka+ majiji ya Israeli mpaka Mwana wa binadamu atakapofika.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+
16 Lakini mimi, nitaimba juu ya nguvu zako,+Na asubuhi nitatangaza fadhili zako zenye upendo kwa shangwe.+Kwa maana umekuwa kilele changu salama.+Na mahali pa kukimbilia siku ya taabu yangu.+
7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+
23 Wakati wanapowatesa ninyi katika jiji moja, kimbilieni jiji lingine;+ kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi, Hamtamaliza kuyazunguka+ majiji ya Israeli mpaka Mwana wa binadamu atakapofika.+