2 Samweli 22:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na ndiye anayeniondoa kwa adui zangu.+Nawe utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu;+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye vitendo vya jeuri.+ Zaburi 140:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 140 Uniokoe, Ee Yehova, kutoka kwa watu wabaya;+Unilinde na mtu mwenye matendo ya jeuri,+
49 Na ndiye anayeniondoa kwa adui zangu.+Nawe utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu;+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye vitendo vya jeuri.+